بسم الله الرحمن الرحيم

kutafuta elimu ni faradhi kwa kila muislamu
الحمد لله الذي نستعينه ونستغفره ونعوذ بالله من شرور أنفسنا ومن سيئات أعمالنا من يهد الله فلا مضل له ومن يضلل فلا هادي له .



ونشهد أن لا إله إلا الله وحده لا شريك له ونشهد أن محمدا عبده ورسوله أرسله بالهدى ودين الحق ليظهره على الدين كله وكفى بالله شهيدا




Monday, August 1, 2011

KIVULI CHA ALLAH (S.W) SIKU YA KIAMA

KIVULI CHA ALLAH(S.W) SIKU YAKIAMA
"Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Kuna watu saba (7) ambao Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) atawafunika katika kivuli chake katika siku ambayo kutakuwa hakuna kivuli isipokuwa kivuli chake Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala)”:
1. Kiongozi Muadilifu
2. Kijana aliyekulia katika kumcha Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala)
3. Muislamu ambaye moyo wake umesehelea katika msikiti
4. Watu wawili wapendanao kwa ajili ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala), Kukutana kwa ajili ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) na kuachana kwa ajili ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala)
5. Mwanaume aliyeitwa na mwanamke mrembo kwa kutaka kufanya matendo ya haramu na akasema, “La hakika mimi namuogopa Allaah (Subhaanahu Wa Ta’ala)”
6. Mtu anayetoa sadaka kwa mkono wa kulia na wa kushoto usijue kitu kilichotendeka (atoae sadaka kwa siri bila ya wengine kujua kwa ajili ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala)
7. Mtu anayemkumbuka Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) kwa faragha na huku macho yake yakatokwa na machozi.”
(Al-Bukhaariy na Muslim) Katika Hadiyth hii nzuri Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) kazungumzia kuhusu vitu vidogo vya ‘Ibaadah ambavyo ujira wake ni mkubwa mno: kivuli katika siku ambayo kutakuwa hakuna kivuli isipokuwa cha Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala). Hii inaweza kuonekana kuwa si jambo kubwa katika mara ya kwanza utakaposoma, lakini ukidhamiria katika Hadiyth ifuatayo; “Katika siku ambayo Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) atawafufua viumbe vyake vyote, jua litashushwa karibu sana na watu ambapo kutaachwa tofauti ya maili moja baina ya jua na watu ardhini. Watu watatopea katika jasho kulingana na amali zao, wengine mpaka kwenye vifundo vya vya miguu, wengine mpaka kwenye magoti yao, wengine mpaka kwenye viuno vyao na wengine watakuwa na hatamu ya jasho na, wakati yalivokuwa yanasemwa haya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) aliweka mkono mbele ya mdomo wake.” Imesimuliwa na Al-Miqdaad bin Aswad na imekusanywa katika Swahiyh Muslim - Juzuu ya nne (4), ukurasa wa 1487-8, nambari 6852.
TUOMBEE ZAIDI TUWE NA TABIA HIZI.

HEALTH BENEFITS OF LEMONS

Health Benefits of Lemons
Lemon is one of those super foods with a myriad health and cosmetic benefits. There are a few persons for whom it is an allergen, so make sure you are not allergic to this natural product, before you start enjoying the many benefits.
1. Lemon being a citrus fruit , fights against infection. It helps in production of WBC's and antibodies in blood which attacks the invading microorganism and prevents infection.
2. Lemon is an antioxidant which deactivates the free radicals preventing many dangerous diseases like stroke, cardiovascular diseases and cancers.
3. Lemon lowers blood pressure and increases the levels of HDL (good cholesterol).
4. Lemon is found to be anti-carcinogenic which lower the rates of colon, prostate, and breast cancer. They prevent faulty metabolism in the cell, which can predispose a cell to becoming carcinogenic. Also blocks the formation of nitrosamines in the gut.
5. Lemon juice is said to give a glow to the skin..
6. A few drops of lemon juice in hot water are believed to clear the digestive system and purify liver as well.
7. The skin of lemon dried under the sun and then ground to make powder can be applied to the hair for a few minutes before bath which relieves head ache and cools the body.
8. Applying lemon juice to acne dries the existing ones and prevents from getting more.
9. Lemon juice acts as a natural hair lightner and skin bleach which reduces the pigment melanin and prevents the risk of chemical allergic reactions which is common with hair dyes and bleaches.
10. Lemon juice is given to relieve gingivitis, stomatitis, and inflammation of the tongue.
11. Lemon juice is given to prevent common cold.
12. Lemon juice is given to prevent or treat urinary tract infection
and gonorrhea.
13. Lemon juice is applied to the sites of bites and stings of certain insects to relieve its poison and pain.
14. Lemon juice relieves colic pain and gastric problems.
15. Lemon juice soothes the dry skin when applied with little glycerin.
16. Lemon juice used for marinating seafood or meat kills bacteria and
other organisms present in them, thereby prevents many gastro-intestinal tract infections.
17. Lemon juice with a pinch of salt (warm) every morning lowers cholesterol levels and brings down your weight.
18. Lemon juice is the best drink to prevent dehydration and shock in case of diarrhea.
19. Lemon juice can also be used as a mouthwash. It removes plaque, whitens the teeth and strengthens the enamel.
20. A table spoon on thick lemon syrup everyday relieves asthma.
21. Lemon juice relieves chilblains and itchy skin.
22. Gargling lemon juice relieves throat infection and also used as a treatment for diphtheria.
23. Lemon juice is an excellent treatment for dandruff and greasy hair.
24. Lemon applied over the face removes wrinkles and keeps you young.
25. Lemon juice helps to prevent and cure osteoarthritis.

HIZI NI DHIKIR ZA KILA BAADA YA SWALA YA FARDHI

BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM
ADHKAAR ADBAAR SWALAWAAT KHAMSA
1. {ASTAGHFIRU LLAHA.... ASTAGHFIRU LLAHA.... ASTAGHFIRU LLAHA...}

2. {ALLAHUMMA ANTA SSALAAM WAMINKA SSALAAM TABAARAKTA YAA DHAAL JALAAL WAL-IKRAAM}

3. {LAA ILAHA ILLA LLAHU WAHDAHU LAA SHARIYKA LAHU, LAHUL MULKU, WALAHUL HAMDU, WAHUWA A’LA KULLI SHAY-I QADIYR. ALLAHUMMA LAA MAANI’I LIMAA A’ATWAYTA, WALAA MA’ATWIY LIMAA MANI’ITA, WALAA YAN-FA’U DHAAL JADDU MINKAL JADDU}

4. {LAA ILAHA ILLA LLAHU WAHDAHU LAA SHARIYKA LAHU, LAHUL MULKU, WALAHUL HAMDU, WAHUWA A’LA KULLI SHAY-I QADIYR LAA HAWLA WALAA QUWWAT ILLA BI-LLAH, LAA ILAHA ILLA LLAH, WALAA NA’ABUDU ILLA IYYAAHU, LAHU NNA’AMATU, WALAHUL FADHILU, WALAHU THANAA-A HASAN, LAA ILAHA ILLA LLAH MUKH-LISWIYNA LAHU DDIYN WALAW KARIHAL KAAFIRUUN}

5. {SUBHAANA LLAH (33) WAL-HAMDULILLAH (33) WALLAAHU AKBAR(33) WATAMAAMUL MIATU (LAA ILAHA ILLA LLAHU WAHDAHU LAA SHARIYKA LAHU, LAHUL MULKU, WALAHUL HAMDU, WAHUWA A’LA KULLI SHAY-I QADIYR}

6. QIRAATUL MA’UUDHATAYN ((QUL A’UDHU BIRABBIL FALAQ)) WA ((QUL A’UDHU BIRABBIL NNAAS))

7. SOMA AAYATUL KUR-SIYY {SURATUL BAQAR: AYA YA 255}

Sunday, May 1, 2011

MJUWE ADUI YAKO NA SIFA ZAKE.
Na BILAL KHALID
KIFUATACHO NI KITAMBULISHO CHAKE
JINA
Ibilisi
MJI
Ndani ya nyoyo za walioghafilika
KABILA
Mashetani
MWISHO WAKE
Ndani ya moto wa Jahannam
CHEO
Muovu wa hali ya juu
SEHEMU ANAZOZIPENDA
Pasipotamkwa jina la Mwenyezi Mungu
NJIA YAKE
Isiyonyoka
RASILMALI YAKE
Tumaini
BARAZA ZAKE
Masokoni
MAADUI ZAKE
Waislamu
ANACHOPENDA
Unafiki

NGUO ZAKE
Mfano wa kinyonga – kila mahali na rangi yake
WAKE ZAKE DUNIANI
Wanaokwenda uchi huku wakiwa wamevaa
ANAOWAPENDA
Walioghafilika na kumtaja Mwenyezi Mungu
ASOWAPENDA
Wenye kuomba maghfira
NYUMBA YAKE
Vyooni na sehemu chafu
SIFA ZAKE
Hana msimamo maalum
TAREHE YA KUANZA KAZI
Siku aliyokataa kumsujudia baba yetu Adam (AS)
MARAFIKI ZAKE
Wanafiki
MSHAHARA WAKE
Mali ya haramu
OFISI ZAKE
Mahali anapoasiwa Mwenyezi Mungu
SHUGHULI ZAKE
Anaamrisha maovu na anakataza mema
DINI YAKE
Kafiri
WADHIFA WAKE
Mkurugenzi mkuu wa walioghadhibikiwa na waliopotoka
MUDA WAKE WA KAZI
Unaisha siku kiama kitakaposimama
NJIA YAKE
Inayoelekea motoni
WANAOSAFIRI NAYE
Mashetani miongoni mwao ni majini na binadamu
MFANZA KAZI ANAYEMPENDA
Mwenye kuinyamazia haki
NJIA ZA KUWASILIANA
Kusengenya – kupelelezana – kufitinisha
CHAKULA ANACHOKIPENDA
Kula nayama za maiti (kusengenya)
ANAWAOGOPA
WachaMungu
ANAWACHUKIA
Wanaomtaja sana Mwenyezi Mungu
MITEGO YAKE
Wanawake, watoto, na mali
MATAMANIO YAKE
Kuwakufurisha watu wote
NENO ANALOLIPENDA
‘Mimi’
SAUTI ANAZOZIPENDA
Za waimbaji wanaume kwa wanawake
WAADI WAKE
Anakuahidini ufakiri
KINACHOMLIZA
Kumsujudia Mwenyezi Mungu